Hawa ndio walisuka ndoa ya Ruto na Raila – Taifa Leo

Written by on September 23, 2024

Rais William Ruto (kulia) na Bw Raila Odinga walipokutana nchini Uganda nyumbani kwa Rais Yoweri Museveni. PICHA | MAKTABA

WANDANI wakuu wa kinara wa upinzani Raila Odinga waliohusika katika makubaliano na Rais William Ruto, walifanya msururu wa mikutano usiku kabla ya rais kutangaza hadharani majina ya mawaziri wateule, Taifa Leo imebaini.

Kakaye mkubwa Odinga, Oburu Oginga, aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama cha Jubilee Raphael Tuju, Kiranja wa Wachache Bungeni Junet Mohamed, Bw Joe Ager na Profesa Adams Oloo walishiriki mazungumzo yaliyoishia katika uteuzi wa viongozi wa ODM . . .



Current track

Title

Artist