Huyu ndiye Gaitho tuliyekusudia kunasa tulipomshika kimakosa mwanahabari Macharia Gaitho – Taifa Leo
Written by Black Hot Fire Network on July 18, 2024
Mwanamitandao Francis Gaitho ambaye 'alifananishwa' na mwanahabari Macharia Gaitho na maafisa wa DCI. Picha|Richard Munguti
MWANAMITANDAO aliyekuwa akisakwa na polisi waliomtia nguvuni kimakosa mwanahabari wa miaka mingi na mchangiaji makala katika Daily Nation, Macharia Gaitho, ameshtakiwa.
Francis Ng’ang’a Gaitho alishtakiwa mbele ya hakimu mwandamizi Robinson Ondieki kwa kuchapisha habari za uwongo na za kupotosha kuhusu jina la mshukiwa mkuu katika mauaji ya wanawake eneo la Kware, Embakasi.
Na wakati huo huo, mfanyabiashara Alinur Mohamed Bulle alishtakiwa kujifanya Msemaji wa Ikulu.
Gaitho anayewakilishwa na wakili . . .