Ingwe hatimaye yapata ushindi, Police, Shabana zikiwika KPL – Taifa Leo
Written by Black Hot Fire Network on April 26, 2025
Christopher Koloti (kulia) akisherehekea bao lake dhidi ya Bidco United ugani Dandora. PICHA|AFC Leopards
AFC LEOPARDS Jumamosi ilisitisha rekodi duni ya kutopata ushindi kwenye mechi sita zilizopita huku Kenya Police ikirejea kileleni mwa Ligi Kuu (KPL) kupitia ushindi wa 2-1 dhidi ya KCB ugani Sportpesa Arena, Kaunti ya Murangá.
Ingwe ilinyorosha Bidco United 3-1 katika uga huo huo wa Dandora mechi ambayo ilianza saa 10 jioni.
Shabana nao waliendelea kukwea jedwali la KPL, wakifunga Nairobi City Stars 2-0 uwanja wa Kenyatta, Kaunti ya Machakos.
Kwenye . . .