Kahawa inaongezea wazee nguvu – Watafiti – Taifa Leo

Written by on September 23, 2024

Kahawa moto kwenye kikombe. PICHA|HISANI

UNYWAJI wa kahawa unasaidia katika kuimarisha misuli ya mwili miongoni mwa wanaume wakongwe, Wanasayansi wamebaini.  

Wengi ambao wametinga ukongwe huwa na tatizo la misuli yao kuisha nguvu au kulegea, ugonjwa ambao unafahamika kwa kimombo kama ‘Sarcopenia’.

Ugonjwa huo hulemaza uwezo wa mwanaume kuwajibikia majukumu ya kawaida hata kazi nyumbani baada ya kutinga uzee (wale ambao wana umri wa miaka 60 na zaidi) kwa sababu misuli yao huisha nguvu.

Kati ya mambo ya kawaida ambayo mtu hawezi kufanya akiwa na ugonjwa huo ni kutaabika . . .



Current track

Title

Artist