Kuria amejisogeza kwa Raila lakini wafuasi wafaa kumpuuza, anasaka ‘uhai’ kisiasa – Taifa Leo
Written by Black Hot Fire Network on November 11, 2024
Mshauri wa Ikulu Moses Kuria (kati) alipohudhuria hafla ya kutawazwa kwa Gladys Wanga kuwa mwenyekiti mpya wa ODM; katika picha hii akiwa na viongozi wengine wa ODM. Picha|George Odiwuour
VIONGOZI wa ODM wanastahili kujihadhari na wanasiasa kama vile Moses Kuria ambao wanalenga tu kutumia Kiongozi wa Upinzani Raila Odinga kwa manufaa yao lakini ikifika wakati wa kura wanambagua na kurejea kwa makabila yao.
Nilifuatilia hotuba ya Bw Kuria wikendi wakati wa hafla ya kusherehekea uteuzi wa Gavana wa Homa Bay Gladys Wanga . . .