Nairobi City Stars yangurumia Gor na kudidimiza matumaini yao ya kutwaa KPL – Taifa Leo

Written by on May 15, 2025

Wachezaji wa Gor kuanzia kushoti Benson Omala, Austin Odhiambo,
Joshua Onyango na Sylvester Owino (kulia) wakisherehekea bao katika mechi ya KPL. PICHA|HISANI

GOR  MAHIA Alhamisi  ilipata pigo kwenye juhudi zake za kutetea taji la Ligi Kuu (KPL) baada ya kutandikwa 2-1 na Nairobi City Stars waliokuwa wakivuta mkia  kwenye uga wa Dandora Nairobi.

Kwenye mechi nyingine iliyogaragazwa Alhamisi uwanja wa Dandora, Kariobangi Sharks ilishinda KCB 1-0 na kuendelea na juhudi za kukwepa shoka la kutimuliwa KPL.

Ugani Dandora, makosa ya kipa Gad Mathews yalitunuku City Stars bao la . . .



Current track

Title

Artist