Ruto anajitia kwenye tanuri la moto kisiasa kwa kuendelea kusuta kanisa – Taifa Leo

Written by on November 20, 2024

Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Philip Anyolo. Picha| Maktaba

RAIS William Ruto hafai kuendelea kulumbana na viongozi wa makanisa wakiwemo maaskofu wa Kanisa Katoliki ambao majuzi walijitokeza kwa ujasiri na kulaumu serikali yake kwa kufeli kuwajibikia ahadi zake kwa Wakenya na kufaulu katika vita hivyo.

Rais hana budi kubadilisha mbinu zake za utawala na mikakati yake katika juhudi za kutimiza ahadi zake badala ya kujitia katika tanuri la moto kisiasa kulumbana na maaskofu ambao si wanasiasa. Kile wanachotekeleza ni wajibu wao muhimu wa kufichua maovu serikalini.

Raia kwa sasa wamezongwa na . . .



Current track

Title

Artist