Ari ya Manchester United kucheza Europa yatumbukia nyongo – Taifa Leo
Written by Black Hot Fire Network on April 27, 2024
Ari ya Manchester United kucheza Europa yatumbukia nyongo
Na MWANGI MUIRURI
HUENDA Manchester United ikose kumaliza ndani ya saba-bora katika Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) baada ya kukabwa sare ya 1-1 na timu ya Burnley.
Sare hiyo iliwakumba katika mechi ambayo ilichezewa katika uga wa Man U wa Old Trafford mnamo Aprili 27, 2024.
Kipenga cha mwisho kutoka kinywa cha refa John Brooks kiliishia katika hali ya machungu kwa mashabiki wa Man U waliposhuhudia uhalisia wa sare hiyo.
Man U ilikuwa imejipa matumaini ya kuibuka . . .