Sports
Mikel Arteta, kocha wa Arsenal. PICHA|HISANI LONDON, Uingereza MIKEL Arteta ameonya Liverpool kuwa Arsenal wamerejea kwenye vita vya kuwania ubingwa wa Ligi Kuu baada ya kuonyesha ujasiri wakilemea majirani Tottenham Hotspur 2-1 mbele ya mashabiki 60, 287 ugani Emirates, Jumatano, Januari 15, 2025. Wanabunduki wa Arsenal walihitaji ushindi huo vibaya sana ili kupunguza mwanya kati […]
Mtimkaji, Dan Asamba ajumuika kwa picha ya pamoja baada ya kushinda dhahabu ya Tujiamini Nationwide Initiative. PICHA|HISANI MTIMKAJI wa mbio fupi Dan Kiviasi Asamba amesema analenga kungáa kwenye Riadha za Dunia za Ukumbini mnamo Machi na Riadha za Dunia mnamo Oktoba mwaka 2025. Riadha za Dunia za Ukumbuni zitafanyika China mnamo Machi na ile ya […]
Winga Mykhailo Mudryk wa Chelsea mnamo Novemba 3, 2024. PICHA | REUTERS MCHEZAJI ghali kabisa kutoka Ukraine, Mykhaylo Mudryk, yuko hatarini kupigwa marufuku ya miaka minne kujihusisha na soka ikiwa itathibitishwa alitumia vidonge vya Meldonium kimakusudi. Shirikisho la Soka Uingereza (FA) lilifahamisha klabu yake ya Chelsea kuwa sampuli ya kwanza ya mkojo wa Mudryk ilionyesha […]
Fowadi wa Barcelona, Lamine Yamal, akiwasili kwa hafla ya Ballon d’Or jijini Paris, Ufaransa, mwezi Oktoba 2024. PICHA | REUTERS ITAKUGHARIMU Sh33,603 (Dola za Amerika 260) kupata daluga za Adidas zilizo na nembo ya chipukizi matata wa Barcelona, Lamine Yamal. Viatu hivyo viko katika rangi za pinki na zambarau ambazo winga huyo raia wa Uhispania […]
Vincent Kipkorir. Picha|Mashirika VINCENT Kipkorir ndiye mshindi wa mbio za Generali Malaga Marathon nchini Uhispania mnamo Jumapili, Desemba 15, 2024. Aliongoza Wakenya wenzake Micah Kipkosgei, Andrew Rotich, Genicious Rono na Josphat Menjo kuchukua nafasi tano za kwanza, mtawalia. Kipkorir alinyakua taji kwa saa 2:08:05 nao Kipkosgei na Rotich wakakamilisha mbio hizo za kilomita 42 kwa […]
Bukayo Saka (jezi nyekundu) wa arsenal na Vitaliy Mykolenko wa Everton wang’ang’ania boli mechi ya EPL uwanjani Emirates, London hapo Jumamosi. PICHA | REUTERS ARSENAL wamepigwa breki tena katika juhudi zao za kumaliza ukame wa miaka 20 bila ubingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) baada ya kuumiza nyasi bure katika sare ya 0-0 na […]
Mshauri wa Rais kuhusu masuala ya watoto na wanawake, Harriette Chiggai, akionyesha ujuzi wake katika ulengaji shabaha kwa kutumia bastola wakati wa mashindano ya Pink Target All Ladies Charity Sport yaliyoandaliwa eneo la Kirigiti, Kiambu, mnamo Desemba 8, 2024. PICHA | HISANI WANGECHI Muchiri alionyesha ustadi mkubwa akitawala mashindano ya ulengaji shabaha wa kutumia bastola […]
Anjichi Beyu akishiriki kitengo cha 50m Butterfly wakati wa mashindano ya kuogelea ya Kiambu Masters yaliyoandaliwa katika bwawa la Shule ya Potterhouse mtaani Runda, Kiambu, mnamo Desemba 7, 2024. Beyu, 26, alikuwa mmoja wa waogeleaji katika mashindano hayo yaliyojumuisha washiriki waliozidi umri wa miaka 25. PICHA | HISANI SHIRIKISHO la Mashindano ya Kuogelea la Kaunti […]
Hussein Mohammed akieleza maono yake kuhusu soka ya Kenya wakati wa mahojiano katika kipindi cha SportOn runinga ya NTV mnamo Septemba 02, 2024 kuelekea uchaguzi wa urais wa Shirikisho la Soka Nchini (FKF). PICHA | CHRIS OMOLLO RAIS mpya wa Shirikisho la Soka Nchini (FKF) Hussein Mohamed alivuka vizingiti si haba kabla ya kufanikiwa kutimiza […]
Hussein Mohammed akiwasili kupiga kura katika uchaguzi wa urais wa Shirikisho la Soka Nchini (FKF), ulioandaliwa kwenye ukumbi wa Kasarani jijini Nairobi, Jumamosi. Picha|Chris Omollo HUSSEIN Mohammed alitwaa urais wa Shirikisho la Soka Nchini (FKF) Jumamosi baada ya kuibuka kifua mbele kwenye raundi ya kwanza na kumfanya mpinzani wa karibu Doris Petra kuinua mikono, katika […]