Sports

Kikosi cha Arsenal kilichocheza dhidi ya Bournemouth kwenye mechi ya kirafiki nchini Amerika. Picha|Hisani LOS ANGELES, Amerika ARSENAL FC walianza mechi za kujiandaa kwa msimu 2024-2025 kwa kulemea Bournemouth kwa njia ya penalti 5-4, Alhamisi. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1 katika muda wa dakika 90 baada ya winga Fabio Vieira kujaza kimiani krosi ya […]

Nyota wa Manchester City Kevin De Bryune. Picha|Maktaba MANCHESTER, Uingereza KOCHA Pep Guardiola wa Manchester City amethibitisha kuwa kiungo Kevin De Bruyne hataondoka klabuni msimu huu na kuyoyomea Saudi Arabia kutafuta mihela, huku Arsenal ikikaribia kumtwaa beki mahiri, Riccardo Calafiori kutoka Italia. Guardiola amesisitiza kwamba klabu hiyo ya Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) haina mpango […]

Mshambuliaji wa Uingereza Ollie Watkins alemewa na hisia baada ya kufungia nchi yake bao la ushindi dhidi ya Uholanzi katika nusu fainali ya Euro 2024. Picha|Hisani BERLIN, Ujerumani Three Lions ya Uingereza ilidumisha ubashiri wa kuwa mmoja wa wagombea halisi wa taji la Kombe la Ulaya (Euro) 2024 baada ya kunyoa Uholanzi 2-1 katika nusu-fainali […]

Timu za Voliboli ya Ufukweni kushiriki Kombe la Afrika nchini Morocco Na JOHN KIMWERE TIMU za taifa za voliboli ya Ufukweni, wanaume na wanawake zimeratibiwa kuondoka leo jioni kuelekea nchini Morocco kushiriki mechi za Kombe la Afrika (CAVB). Ngarambe hiyo pia itatumika kupigania tikiti ya kufuzu kushiriki Michezo ya Olimpiki 2024 Paris, Ufaransa. Shindano hilo […]

Euro 2024: Wenyeji Ujerumani, kuanzisha ngoma Ijumaa usiku dhidi ya Scotland MUNICH, Ujerumani Wenyeji Ujerumani wanatarajiwa kuanza Kombe la Ulaya (Euro 2024) kwa kishindo watakapomenyana na Scotland katika mechi ya Kundi A ugani Allianz Arena Ijumaa, Juni 14, 2024 usiku. Wajerumani, ambao walishinda makala ya 1972, 1980 na 1996, wana rekodi nzuri dhidi ya Scotland. […]

Kenya hatarini kukosa tena Kombe la Dunia Na CECIL ODONGO KENYA ina matumaini finyu ya kufuzu Kombe la Dunia 2026 baada ya kudondosha alama nne katika mechi ya Kundi F dhidi ya Burundi na mabingwa wa Afrika Cote d’Ivoire. Stars ilicheza mechi hizo jijini Lilongwe, Malawi kwa kuwa nyuga za hapa nchini zinaendelea kufanyiwa ukarabati. […]

Kenya yaikaba Cote d’Ivoire mechi ya kufuzu Kombe la Dunia Na CECIL ODONGO HARAMBEE Stars Jumanne ilicheza kibabe na kuwakaba mabingwa wa Afrika Cote d’Ivoire kwa sare tasa katika mechi ya kufuzu Kombe la Dunia 2026 nchini Malawi. Mtanange huo wa kundi F uligaragazwa katika uwanja wa kitaifa wa Bingu, jijini Lilongwe. Hii ilikuwa mara […]

Tuchel akataa dili ya kunoa Man U, Pep naye akikonyezewa jicho na Barca MANCHESTER, UINGEREZA KOCHA Thomas Tuchel amejiondoa kwenye orodha ya makocha ambao wanatafutwa kuchukua majukumu ya Manchester United msimu ujao. Kocha huyo wa zamani wa Bayern Munich na Chelsea alikuwa miongoni mwa wakufunzi waliopigwa daruni na Red Devils ili kumrithi Erik ten Hag […]

Junior Starlets yalima Burundi 3-0 kuweka hai matumaini ya kushiriki Kombe la Dunia U-17 Na TOTO AREGE TIMU ya Kenya ya akina dada walio chini ya umri wa miaka 17 Junior Starlets, inanusia kufuzu Kombe la Dunia mwaka huu, baada ya ushindi wa 3-0 dhidi ya Burundi. Mechi hiyo ya mkondo wa kwanza wa raundi […]

Enterprise Cup: Kabras wafinya KCB na kuhifadhi taji Na GEOFFREY ANENE KABRAS Sugar kutoka kaunti ya Kakamega sasa wako ligi moja na Nondescripts, Eldoret na Impala katika kushinda mataji manne ya mashindano ya raga ya wachezaji 15 kila upande ya Kombe la Enterprise. Hiyo ni baada ya Kabras kuzoa taji la nne kwa kupepeta KCB […]


Current track

Title

Artist