Sports

Sehemu ya kidumbwedumbwe katika mechi za Ligi Kuu (KPL) kati ya Sofapaka na Nairobi City Stars. PICHA| HISANI TIMU tatu za Ligi Kuu (KPL) lazima zitaaga kipute cha Kombe la Mozzartbet huku raundi ya 16 ikichezwa Jumamosi na Jumapili, washindi wakitarajiwa kutinga awamu ya robo-fainali. Klabu 10 za KPL zilifuzu raundi ya 16 na kutakuwa […]

Sinaida Nyachio atimka na mpira wakati Kenya ilipepeta Uganda 10–5 katika mechi ya makundi ya Cape Town 2 nchini Afrika Kusini mnamo Machi 7, 2025. Nyachio amefungia Kenya ikirarua Ubelgiji mjini Krakow, Poland. PICHA|WORLD RUGBY KENYA Lionesses wameanza vyema duru ya mwisho ya msimu wa kawaida ya raga za saba kila upande za Challenger Series […]

Straika wa Gor Mahia Benson Omala akiwa mazoezini. PICHA| HISANI MSHAMBULIZI wa Harambee Stars Benson Omala sasa anaweza kusakatia tena Gor Mahia baada ya Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) kumaliza mvutano baina yake na klabu ya Al Safa ya nchini Lebanon. Omala hajakuwa akicheza kwa muda wa miezi minane na alirejea Gor Mahia mwezi Januari, […]

Mashabiki wa klabu ya Gor Mahia wakati wa mechi yao ya Ligi ya Shirikisho la Soka Kenya (Mashemeji Derby) katika uwanja wa Taifa wa Nyayo mnamo Machi 30, 2025. Picha|Sila Kiplagat MWENYEKITI wa Bodi ya Uchaguzi wa Gor Mahia Gichu Wahome Ijumaa, Aprili 11, 2025 alisema kuwa mipango yote imekamilishwa kuelekea kura ya klabu itakayoandaliwa […]

Mwanasoka nyota Cole Palmer akiwa na mpenzi wake Connie Grace. PICHA | HISANI KICHUNA Connie Grace amemtaka mchumba wake Cole Palmer anayechezea Chelsea na timu ya taifa ya Uingereza kufanya hima na kumfunga bao kabambe la kimapenzi. Grace alianika matamanio yake hayo wiki hii akiwa likizoni Montego Bay, Jamaica. Palmer alianza kutikisa buyu la asali […]

Kocha Jose Mourinho. PICHA|HISANI JOSE Mourinho anaaminika kuwa katika orodha ya makocha wa timu ya taifa ya Brazil ambaye inaangalia kujaza nafasi ya kocha mkuu baada ya Dorival Junior kutimuliwa mnamo Machi 28, 2025. Kocha huyo Mreno, ambaye kwa sasa anatia makali Fenerbahce, yuko katika orodha inayojumuisha pia Mwitaliano Carlo Ancelotti (Real Madrid), Mhispania Pep […]

Declan Rice (kati) wa Arsenal asherehekea kufunga bao na Oleksandr Zinchenko (kulia) dhidi ya Dinamo Zagreb mechi ya UEFA uwanjani Emirates, Jumatano. PICHA | REUTERS ARSENAL wana asilimia kubwa ya kushinda Klabu Bingwa Ulaya 2024-2025 kuliko mabingwa watetezi Real Madrid. Ubashiri wa hivi punde wa kompyuta maalum ya Opta umejumuisha wanabunduki miongoni mwa timu zilizo […]

Sehemu ya kipute kati ya Gor na KCB kwenye uga wa Kenyatta Jumatatu. PICHA| Gor Mahia KOCHA wa Gor Mahia Sinisa Mihic Jumatatu alisema kuwa timu hiyo ipo pazuri kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu (KPL) baada ya kuichapa KCB 1-0 katika uga wa Kenyatta Kaunti ya Machokos Jumatatu asubuhi. Mchuano huo ambao ulistahili kusakatwa mnamo […]

Straika Moses Shumah akiwania mpira kwenye mechi ya Kombe la Mashirikisho Afrika (Caf) kati ya Homeboyz na Al Hilal ugani Nyayo miaka miwili iliyopita. PICHA| HISANI MSHAMBULIZI wa Kakamega Homeboyz Moses Shumah sasa yupo sako kwa bako na straika Ryan Ogam wa Tusker kwenye mapambano ya Kiatu cha Dhahabu baada ya kufunga katika mechi ya […]

Golikipa wa Manchester United Andre Onana na mkewe Melanie Kamayou. PICHA| HISANI MELANIE Kamayou ambaye ni mke wa golikipa wa Manchester United, Andre Onana, ndiye wa hivi karibuni kujipata pabaya mikononi mwa wezi sugu wa eneo la Cheshire huko Uingereza baada ya kupokonywa saa aina ya Rolex na begi la Hermes Birkin lenye thamani ya […]


Current track

Title

Artist