Politics
Katibu Mkuu wa Jubilee Jeremiah Kioni akizungumza awali. Amekanusha kuwepo kwa handisheki kati ya Uhuru na Ruto. Picha|Maktaba KATIBU Mkuu wa Jubilee, Jeremiah Kioni amesema hakuna muafaka wowote uliopo kati ya Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta na mrithi wake, William Ruto kwa lengo la kumsaidia ahifadhi kiti chake katika uchaguzi mkuu 2027. Bw Kenyatta ndiye kiongozi […]
Mawaziri wa ODM ndani ya Kenya Kwanza John Mbadi (kushoto) na Opiyo Wandayi. Picha: Hisani TANGU maafisa wa zamani wa ODM John Mbadi na Opiyo Wandayi wateuliwe mawaziri Julai mwaka jana wamekuwa wakisafiri kwa ndege kutembelea sehemu mbalimbali za Luo Nyanza. Kabla ya hapo anga ya eneo hilo ilikuwa safari za ndege zilikuwa chache zaidi, […]
Kinara wa ODM Raila Odinga. Picha|Maktaba KIONGOZI wa ODM, Raila Odinga, mnamo Ijumaa Desemba 20 aliunga Rais William Ruto huku akilaumu wakosoaji wa utawala wa Kenya Kwanza kwa kukataa kuona chochote kizuri serikalini. Japo alikiri kwamba nyakati ngumu za kiuchumi zimeshuhudia kupungua kwa imani ya umma kwa taasisi za serikali na kuongezeka kwa migawanyiko miongoni […]
Gavana Kawira Mwangaza wa Meru akizungumza na wanahabari nje ya Mahakama Kuu ya Milimani mnamo Desemba 18, 2024, baada ya korti hiyo kuongeza muda wa agizo la kusitisha kutimuliwa kwake ofisini. PICHA | WILFRED NYANGARESI GAVANA Kawira Mwangaza wa Meru ametaja uamuzi wa kuongeza muda agizo linalozuia kuondolewa kwake ofisini, kama zawadi bora zaidi ya […]
Rais William Ruto na Rais mstaafu Uhuru Kenyatta wakisalimiana katika hafla ya kutawazwa kwa Askofu Peter Kimani Ndung’u mjini Embu, mwezi Novemba. PICHA | PCS MKUTANO wa hivi majuzi kati ya Rais mstaafu Uhuru Kenyatta na Rais William Ruto unaendelea kuibua mjadala kuhusu sababu ya ukuruba kati ya viongozi hao wawili waliokuwa wametofautiana katika kipindi […]
Kinara wa upinzani Tanzanian, Tundu Lissu, akizungumza na wanahabari jijini Dar es Salaam, Tanzania, mnamo Septemba 25, 2024. PICHA | REUTERS NAIBU mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania – Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) – Bw Tundu Lissu, amethibitisha nia yake ya kupambana na mwenyekiti wa sasa Freeman Mbowe katika uchaguzi ujao […]
Aliyekuwa Waziri Mkuu Raila Odinga (kushoto) na Johnson Sakaja akiwa Seneta wa Nairobi katika maadhimisho ya Jamhuri Dei ya 2019 uwanjani Nyayo, Nairobi. PICHA | MAKTABA GAVANA wa Nairobi Johnson Sakaja sasa ananingínia kwenye kivuli cha Kinara wa Upinzani Raila Odinga ili kujinusuru na kuwahi muhula wa pili mnamo 2027. Tangu mfumo wa ugatuzi […]
Rais William Ruto (kulia) alipomtembelea Rais mstaafu Uhuru Kenyatta nyumbani kwake Gatundu, Kiambu. PICHA | PCS MWANASIASA Jimi Wanjigi amepuulizia mbali handisheki ya Rais William Ruto na mtangulizi wake Rais mstaafu Uhuru Kenyatta akisema meli ya serikali ya Kenya Kwanza inazama na haiwezi kuokolewa. Katika mahojiano na Taifa Leo Jumatatu, Bw Wanjigi alidai ukuruba kati […]
Rais William Ruto akishauriana na Kinara wa ODM Raila Odinga katika picha hii ya awali. Picha|Hisani RAIS William Ruto ambaye anaonekana kupoteza ushawishi eneo la Mlima Kenya lililo na kura nyingi anahitaji kiongozi wa ODM Raila Odinga ili kufanikisha azma yake ya kuchaguliwa tena 2027. Na hii ni iwapo Bw Odinga atahifadhi ngome zake, ambazo […]
Rais William Ruto akiamkuana na Askofu Mkuu wa Nyeri Anthony Muheria wakati wa kutawazwa kwa Askofu wa Embu Peter Kimani Ndung’u, Novemba 14, 2024. Picha|PCS RAIS William Ruto anakabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa viongozi wa kidini hivi kwamba sadaka yake inakataliwa huku akikosolewa vikali na waliomuunga mkono wakati wa kampeni za 2022. Kiongozi wa […]