Politics

Wimbi la mbunge Caleb Amisi lafanya mambo magumu kwa Mudavadi, Weta NA EVANS JAOLA SIKU chache tu baada ya Gavana wa Trans Nzoia kuzindua harakati za msisimko wa kisiasa eneo la Magharibi akisuta Mkuu wa Mawaziri Musalia Mudavadi na Spika wa Bunge la Kitaifa Moses Wetang’ula, mbunge wa Saboti Caleb Amisi ndiye wa hivi punde […]

Wadau wapinga baadhi ya mapendekezo kwenye mswada wa marekebisho ya sheria ya IEBC ya 2024 SAMWEL OWINO Na CHARLES WASONGA WADAU kadha wamepinga baadhi ya mapendekezo yaliyomo katika mswada unaolenga kuleta mabadiiliko katika jinsi Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) inavyoendesha chaguzi kuu nchini. Mswada huo wa Marekebisho ya Sheria ya IEBC ya 2024 […]

Raila, Ruto watofautiana kuhusu ubadilishaji matokeo NA CHARLES WASONGA RAIS William Ruto na kiongozi wa Azimio la Umoja-One Kenya Raila Odinga Jumamosi walitofautiana kuhusu iwapo marehemu Jenerali Francis Ogolla ni miongoni mwa wale waliotaka kubatilisha matokeo ya uchaguzi wa urais mwaka 2022. Akiongea katika uwanja wa michezo wa Ulinzi, Nairobi, wakati wa ibada ya kumuenzi […]

Mvutano wa Wetang’ula na Natembeya waanza kutoa usaha NA EVANS JAOLA MAAFISA wanne wa serikali ya Kaunti ya Trans Nzoia mnamo Jumanne walihojiwa katika makao makuu ya Idara ya Kuchunguza Makosa ya Jinai (DCI) katika kaunti hiyo, kutokana na ghasia zilizotokea kwenye hafla moja ya mazishi Ijumaa iliyopita. Mazishi hayo yalikuwa yamehudhuriwa na Spika wa […]

Team Kusikiza Ground: Vuguvugu jipya la kutetea masilahi ya ‘Wanjiku’ NA CHARLES WASONGA TAKRIBAN wabunge sita kutoka vyama vitatu wamebuni muungano mpya kuhakiki utendakazi wa serikali, wakidai upinzani rasmi umezembea. Sita hao, wanaoongozwa na Naibu Kiranja wa Wachache Mark Mwenje, wanaoujumuisha Mbunge wa Githunguri Gathoni Wamuchomba wanasema wanalenga kuangazia masuala yanayowahusu Wakenya kama vile sakata […]

Msaidizi wa Raila ajiunga na UDA NA CHARLES WASONGA ALIYEKUWA msaidizi wa kiongozi wa Orange Democratic Movement (ODM) Raila Odinga, Silas Jakakimba, amejiunga rasmi na chama cha Rais William Ruto, United Democratic Alliance (UDA). Hii ni baada ya mwanasiasa huyo kugura ODM mwaka 2023 baada ya kutofautiana na Bw Odinga, kisiasa. Bw Jakakimba ambaye aliwania […]

Raila kuokoa jahazi makinda wake wa Azimio wakikwama NA WYCLIFFE NYABERI KIONGOZI wa Wiper Kalonzo Musyoka, amesema Muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya utaendelea kukosoa utawala wa Kenya Kwanza kama kawaida hata ikiwa Raila Odinga anayesifika kwa kuchuna serikali sikio, atapata kiti cha Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika (AUC). Bw Musyoka alisema upinzani […]

Karua apuuza ‘madharau ndogondogo’ ya Kalonzo kusema hatoshi mboga NA WANDERI KAMAU KIONGOZI wa Narc-Kenya Martha Karua, Ijumaa alipuuzilia mbali kauli ya kiongozi wa Wiper Kalonzo Musyoka kwamba hatoshi mboga kuuongoza mrengo wa Azimio la Umoja-One Kenya. Kwenye ujumbe alioandika katika mtandao wa X (zamani ukiitwa Twitter), Bi Karua alisema wapigakura ndio watakaoamua kuhusu kiongozi […]

Mnatoza ushuru na hamlipi madaktari, Kalonzo aishangaa serikali NA WYCLIFFE NYABERI KIONGOZI wa Wiper Kalonzo Musyoka ameitaka serikali ya Kenya Kwanza kuwalipa madaktari ili wasitishe mgomo wao. Bw Musyoka alishangaa utawala wa sasa unatoza ushuru mwingi hivyo hakuna kisingizio kwamba hakuna rasilimali za kutosha. Alisema hayo Alhamisi akiwa katika mji wa Nyamira Alidai Rais William […]

Wabunge wa Kiambu wamuandaa Alice Ng’ang’a kwa ugavana 2027 NA LAWRENCE ONGARO VIONGOZI wanane kutoka Kaunti ya Kiambu wameungana katika kinachoonekana ni kumvumisha mbunge wa Thika Alice Ng’ang’a kumuandaa kuwania ugavana mwaka wa 2027. Mnamo Jumatatu, viongozi hao walizuru eneo la Ngoingwa mjini Thika kupima mwitikio wa wananchi kuhusu njama yao. Viongozi hao nyuma ya Bi […]


Current track

Title

Artist