Politics

Rais William Ruto na Gavana wa Nairobi Johnson Sakaja (kushoto) na mbunge wa Embakasi Kaskazini James Gakuya. PICHA | MAKTABA NA MWANGI MUIRURI RAIS William Ruto sasa ameamrisha kuahirishwa kwa uchaguzi wa mwenyekiti wa chama chake cha United Democratic Alliance (UDA) katika Kaunti ya Nairobi, ikiaminika kwamba hatua hiyo inalenga kuzima mpasuko ambao unanukia katika […]

Rais William Ruto na Naibu Rais Rigathi Gachagua (kulia) wakati wa Maombi ya Kitaifa katika hoteli ya Safari Park, Nairobi. PICHA | DPCS NA MWANGI MUIRURI NAIBU Rais Rigathi Gachagua sasa anawataka wanasiasa wote wa Mlima Kenya walio na dhana kwamba wako na ubabe wa kisiasa kumliko katika eneo hilo, wafanye hima kuthubutu kuandaa mkutano […]

Mbunge Mwakilishi wa Kike wa Kaunti ya Murang’a Betty Maina akiongea katika eneo la Karugia alikohudhuria mazishi ya Bi Beth Wambui. PICHA | MWANGI MUIRURI NA MWANGI MUIRURI MBUNGE Mwakilishi wa Kike wa Kaunti ya Murang’a Betty Maina amedai kwamba kumezuka ‘team mafisi’ wa ulafi kisiasa eneo la Mlima Kenya. Alisema kwamba “tuko hali mbaya […]

Bw Peter Kenneth akiwa katika eneo la Kirwara mnamo Juni 8, 2024. PICHA | MWANGI MUIRURI NA MWANGI MUIRURI ALIYEKUWA mwaniaji wa urais mwaka wa 2013 Bw Peter Kenneth, sasa amewataka viongozi kukumbatia mjadala wa kuongeza idadi ya maeneobunge kwa lengo la kusawazisha idadi ya wapigakura kwa kila mojawapo, hii pia ikileta usawa kwa idadi jumla […]

Gavana wa Nyeri Mutahi Kahiga katika hafla iliyopita. Picha|Maktaba GAVANA wa Nyeri Mutahi Kahiga sasa anamtaka Rais William Ruto kuwadhibiti wandani wake anaodai wanaendelea kumshambulia naibu wake Rigathi Gachagua. Gavana huyo alisema ni Dkt Ruto pekee ndiye mwenye uwezo wa kuwaamuru wanasiasa hao wamheshimu Bw Gachagua. Kwenye mahojiano ya kipekee na runinga ya NTV Jumapili […]

Spika wa Bunge la Kitaifa Moses Wetang’ula. PICHA | MAKTABA BAADA ya chama cha Amani National Congress (ANC) kutangaza rasmi kuungana na United Democratic Alliance (UDA), shinikizo zinazidi kwa Spika wa Bunge la Kitaifa Moses Wetang’ula kuvunja chama chake cha Ford Kenya. ANC kinahusishwa na Mkuu wa Mawaziri Musalia Mudavadi huku kiongozi wa UDA akiwa […]

Hatujamaliza hata miaka miwili, afoka Gachagua akikemea siasa za urithi VITALIS KIMUTAI NA LABAAN SHABAAN NAIBU Rais Rigathi Gachagua anataka wanasiasa wa chama tawala cha United Democratic Alliance (UDA) kusitisha siasa za urithi zinazoendelea. Siasa hizi zinatokota na kutisha kuvuruga shughuli za serikali hata kabla ya kukamilika kwa miaka miwili tangu serikali ichukue hatamu za uongozi […]

Haki ya uwakilishi ndio haki ya mgao wa rasilimali – Peter Kenneth NA MWANGI MUIRURI ALIYEKUWA mwaniaji wa urais mwaka wa 2013 Bw Peter Kenneth, sasa amewataka viongozi kukumbatia mjadala wa kuongeza idadi ya maeneobunge kwa lengo la kusawazisha idadi ya wapigakura kwa kila mojawapo, hii pia ikileta usawa kwa idadi jumla ya watu. Bw […]

‘Betty e sawa’ adai baadhi ya viongozi Mlima Kenya ni kama fisi NA MWANGI MUIRURI MBUNGE Mwakilishi wa Kike wa Kaunti ya Murang’a Betty Maina amedai kwamba kumezuka ‘team mafisi’ wa ulafi kisiasa eneo la Mlima Kenya. Alisema kwamba “tuko hali mbaya na wanasiasa hao ambao licha ya kuwa na minofu ya mamlaka mdomoni, hata […]

Gachagua ashikilia msimamo wa kuunganisha jamii za Mlima Kenya NA MWANGI MUIRURI NAIBU Rais Rigathi Gachagua amesisitiza kwamba hakuna yeyote aliye na uwezo wa kumwagiza akome harakati za kuunganisha watu wa jamii za Mlima Kenya. Mnamo Juni 2, 2024, akiwa katika uwanja wa Amutala ulioko Kaunti ya Bungoma, Rais William Ruto alisisitizia viongozi haja ya […]


Current track

Title

Artist