Politics

Mbunge wa Mathira Eric Wamumbi akizungumza katika hafla iliyopita. Picha|Maktaba MBUNGE wa Mathira, Bw Eric Wamumbi, Jumanne alilazimika kutoroka umati mjini Karatina katika eneobunge lake huku wasaidizi wake wawili wakijeruhiwa vibaya na wafuasi wa aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua. Katika ghasia za siasa zinazoendelea kulaaniwa, shughuli za biashara zilisitishwa wafuasi wa Bw Gachagua walipolalamika na […]

Aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua alipozindua chama chake kipya,Democracy for the Citizens Party (DCP) Mei 15, 2025 katika afisi Lavington. Picha | Francis Nderitu ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa United Democratic Alliance (UDA) Cleophas Malala na aliyekuwa Waziri wa Kilimo Mithika Linturi ni miongoni mwa wale waliotajwa kama viongozi wapya chama cha Democracy for Citizen Party […]

Mbunge wa Lang’ata Phelix Odiwuor almaarufu Jalang’o. Picha|Maktaba JAMII ya Abagusii kupitia mawakili Danstan Omari na Samson Nyaberi imempa Mbunge wa Lang’ata Phelix Odiwuor Khodhe almaarufu Jalang’o masaa 48 kufutilia mbali matamshi kwamba ni “wachawi”. Katika barua iliyopelekewa Mbunge huyo, mawakili hao walisema matamshi hayo ya Jalang’o yanadhalilisha jamii hiyo. Mawakili hao wamesema katika barua […]

Rais William Ruto akiwa ziarani Nairobi. Picha|PCS RAIS William Ruto sasa yuko tayari kuwakabili wakazi wa Mlima Kenya uso kwa macho atakapoanza ziara yake eneo hilo ambalo kwa sasa linaonekana kudhibitiwa na aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua. Mara ya mwisho Rais alipokuwa Mlima Kenya ni Novemba 16 alipohudhuria sherehe ya kumtawaza Askofu wa Katoliki Jimbo […]

Aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua akiwa katika hafla ya maombi Nyandarua. Picha|Waikwa Maina SIKU moja baada ya Tume ya Kitaifa ya Uwiano na Utangamano (NCIC) kumwonya aliyekuwa naibu rais Rigathi Gachagua dhidi ya kutoa matamshi ya kuchochea chuki, wandani wa mwanasiasa huyo wameigeukia wakidai inatumiwa kumchapa kisiasa. Wabunge wandani wa Bw Gachagua wanadai tume hiyo […]

Naibu Rais Kithure Kindiki akizungumza katika makazi yake ya Karen, alipofanya mkutano na wajumbe kutoka Tharaka Nithi. Picha|DPCS NAIBU Rais Profesa Kithure Kindiki jana alisema yupo tayari kugharimika kisiasa iwapo hilo litachochewa na hatua yake ya kufanikisha miradi ya serikali eneo la Mlima Kenya. Profesa Kindiki alisema hawezi kupoteza wakati wake kucheza siasa za ubabe […]

Katibu Mkuu wa Jubilee Jeremiah Kioni akizungumza awali. Amekanusha kuwepo kwa handisheki kati ya Uhuru na Ruto. Picha|Maktaba KATIBU Mkuu wa Jubilee, Jeremiah Kioni amesema hakuna muafaka wowote uliopo kati ya Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta na mrithi wake, William Ruto kwa lengo la kumsaidia ahifadhi kiti chake katika uchaguzi mkuu 2027. Bw Kenyatta ndiye kiongozi […]

Mawaziri wa ODM ndani ya Kenya Kwanza John Mbadi (kushoto) na Opiyo Wandayi. Picha: Hisani TANGU maafisa wa zamani wa ODM John Mbadi na Opiyo Wandayi wateuliwe mawaziri Julai mwaka jana wamekuwa wakisafiri kwa ndege kutembelea sehemu mbalimbali za Luo Nyanza. Kabla ya hapo anga ya eneo hilo ilikuwa safari za ndege zilikuwa chache zaidi, […]

Kinara wa ODM Raila Odinga. Picha|Maktaba KIONGOZI wa ODM, Raila Odinga, mnamo Ijumaa Desemba 20 aliunga Rais William Ruto huku akilaumu wakosoaji wa utawala wa Kenya Kwanza kwa kukataa kuona chochote kizuri serikalini. Japo alikiri kwamba nyakati ngumu za kiuchumi zimeshuhudia kupungua kwa imani ya umma kwa taasisi za serikali na kuongezeka kwa migawanyiko miongoni […]

Gavana Kawira Mwangaza wa Meru akizungumza na wanahabari nje ya Mahakama Kuu ya Milimani mnamo Desemba 18, 2024, baada ya korti hiyo kuongeza muda wa agizo la kusitisha kutimuliwa kwake ofisini. PICHA | WILFRED NYANGARESI GAVANA Kawira Mwangaza wa Meru ametaja uamuzi wa kuongeza muda agizo linalozuia kuondolewa kwake ofisini, kama zawadi bora zaidi ya […]


Current track

Title

Artist