Health/Eco News

Wito Afrika izinduke kukabiliana na maradhi yasiyo ya kuambukiza NA PAULINE ONGAJI akiwa DAR ES SALAAM, TANZANIA BARA la Afrika linakodolea macho hatari huku maradhi yasiyo ya kuambukiza yakitabiriwa kusababisha vifo vingi zaidi kufikia mwaka wa 2030. Haya ni kulingana na Dkt Matsishido Moeti, mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani WHO barani, aliyekuwa akihutubu kupitia […]

UN says plastic pollution is one of the most serious threats to the planet’s health. INFOGRAPHIC/ PHOTO/UGC. By ABDULHAKIM SHERMAN newshub@eyewitness.africa Greenpeace Africa’s Plastics Campaigner Gerance Mutwol has lauded the Government of Kenya for banning the use of plastic bags to collect and dispose of garbage but called for more action.

Familia nyingi Afrika zakumbana na masaibu tele zikisaka huduma za afya NA PAULINE ONGAJI KATIKA kijiji cha Jimbo, Kata ya Lukore, Kaunti ya Kwale, Bi Faith Kioko,26, anajiandaa kumpeleka mwanawe, mwenye umri wa miaka saba katika kliniki. Mwanawe Bi Kioko hawezi kujifanyia chochote, na hivyo ni jukumu la mama huyu kumuosha, kumvisha, kumlisha, kumsaidia kwenda […]

Tunda la peazi ni nadra sokoni lakini ukilipata, kutakuboreshea afya barabara NA PETER CHANGTOEK MATUNDA ya mapeazi ni nadra sana kupatikana sokoni. Si wakulima wengi wanoikuza mipea nchini Kenya. Hata hivyo, kuna maeneo kama vile Limuru, katika Kaunti ya Kiambu, ambapo mipea hupatikana. Kwa sasa, huu ni msimu wa matunda ya mapeazi na yanapatikana kwa […]

Upele kwenye mashavu kila ninaponyoa huletwa na nini? Mpendwa Daktari, Nitakabiliana vipi na upele unaojitokeza kwenye mashavu na nyuma ya kichwa changu kila baada ya kunyolewa ndevu na nywele?Harrison, Nairobi Mpendwa Harrison, Baada ya kunyoa, nywele huanza kuota na kupenyeza tena kwenye vinyweleo. Ncha kali za nywele hudunga vinyweleo kabla ya kuonekana nje ya ngozi. […]

Kama mwanamke, kuota kwa nywele kwenye kidevu kwanipa taabu! Mpendwa Daktari, Mimi ni mwanamke na nakumbwa na shida ya kujithamini, kutokana na tatizo la nywele kuota miguuni, kwenye mapaja, mikononi, na katika sehemu inayozingira kidevu changu. Nimekuwa nikitumia wembe kunyoa lakini mbinu hii husababisha mkwaruzo. Pia, siwezi kumudu kufanyiwa utaribu wa kuondoa nywele wa electrolysis. […]

Umuhimu wa watoto wadogo kupata usingizi wa kutosha NA MWANDISHI WETU WAKATI pacha wake James Mwema (aliomba jina libadilishwe) walikuwa wanazaliwa, ilikuwa siku njema maishani mwake. Hata hivyo, walipofikisha umri wa miezi mitatu na nusu, pacha hao hawakuwa wanalala ipasavyo mchana na hata usiku. “Walikuwa wanalala tu kwa dakika thelathini na iwapo mmoja wao angeamka […]

Miguu yangu imefura na kujaa majipu ila daktari haoni tatizo! Mpendwa daktari, MIGUU yangu imefura kwa miezi kadhaa sasa, na pia sehemu hii imejaa majipu na hivyo kunisababishia maumivu mengi. Nimeenda katika hospitali kadhaa na kila mara madaktari wanasema kwamba hawaoni tatizo. Shida yaweza kuwa gani? Hadijah, Mombasa Mpendwa Hadijah, Kukiwa na mkusanyiko wa majimaji […]

The survey reveals consistent support for ambitious action on plastics across all countries. PHOTO/GREENPEACE. By SPECIAL CORRESPONDENTnewshub@eyewitness.africa Ahead of the fourth Intergovernmental Negotiating Committee (INC4) meeting for a Global Plastics Treaty to be held in Ottawa, Canada from April 23 to 29, 2024, a new Greenpeace International report revealed that 8 out of . . […]

Mwanamume akejeliwa kwa kuruhusu mkewe kupanga uzazi NA FRIDAH OKACHI WAVUMISHAJI wa afya ya jamii katika wadi za Heilu na Manyatta zilizoko mjini Moyale, Kaunti ya Marsabit, wanazidi kupata pingamizi katika juhudi zao za kueneza ujumbe wa umuhimu wa upangaji uzazi. Hali hii inasababishwa na misimamo ya wanajamii kutokana na mafundisho ya kidini, utamaduni wao na […]


Current track

Title

Artist