Health/Eco News
Mraibu wa sigara akishiriki ‘moshi’. Picha|Maktaba KWA kila sigara ambayo huvutwa, mtu hupunguza uhai wake ulimwenguni kwa dakika 19.5, Watafiti wamebaini. Utafiti wa Taasisi ya Mafunzo ya London ulibaini kuwa wanaume hupunguza uhai wao kwa dakika 17 kutokana na kila sigara wanayovuta. Hatari hiyo hiyo ipo kwa wanawake ambao hupoteza dakika 22 kwa kila sigara […]
Kituo cha kupimia kansa katika Hospitali ya Rufaa na Mafunzo ya Chuo Kikuu cha Kenyatta. Picha|Hisani UTAFITI mpya umeonyesha kwamba uchunganuzi wa kujipima virusi vya human papillomavirus (HPV) waweza kusaidia kuainisha wanawake walio na virusi hivi katika vikundi vitatu. Mbinu hii yaweza kusaidia kuimarisha upimaji kansa ya lango la uzazi. Uchunguzi huo kutoka vyuo vikuu […]
Moshi wa sigara. PICHA|HISANI UTAFITI mpya umefichua kwamba uvutaji sigara kuanzia utotoni unaongeza hatari ya kukumbwa na maradhi ya moyo mapema maishani. Aidha, utafiti huo umeonyesha kwamba watoto wengi wanaoanza kuvuta tumbaku katika umri wa miaka 10 au katika umri wa kubalehe, huendelea kufanya hivyo hata baada ya kutimu miaka ya ishirini. Watafiti walifuatilia watoto […]
Mwanamke ambaye hataki kusikia stori za jamaa. Picha|Maktaba WANAUME huwa hawafanyi hila kwamba wamefika kilele wakati wa mahaba ikilinganishwa na wanawake, watafiti wamebaini. Utafiti uliochapishwa kwenye jarida linaloangazia masuala ya ngono, ulisema wanawake wengi ndio hudanganya wanaume kuwa wamefika kilele wakati wa tendo la ndoa. “Tulibaini kuwa wanawake, watu wenye jinsia mbili (huntha), na kuwa […]
Mwanamume mwenye uvimbe sehemu nyeti. Picha|Maktaba MTU mmoja kati ya watano duniani anaugua ugonjwa unaoenezwa kingono. Ugonjwa huo unaosababisha vidonda kwenye sehemu za siri unafahamika kama genital herpes. Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), angalau watu milioni 846 walio na umri wa miaka 15-49 wanaishi na ugonjwa huu. Angalau mtu mmoja kwa kila […]
Liberia EPA Boss, Emmanuel Urey Yarkpawolo. PHOTO/EPA By FRANKLIN N. KWENAH newshub@eyewitness.africa At the COP29 summit in Baku, Azerbaijan, Dr. Emmanuel Urey Yarkpawolo, the Executive Director of Liberia’s Environmental Protection Agency (EPA), urged the international community to increase financial support to help Liberia combat the devastating impacts of climate change. Speaking with the BBC on […]
Officials of the Arab Electricity Regulators Forum (AERF) and African Forum for Utility Regulators (AFUR) in Cairo Egypt. PHOTO/UGC. By FRANLIN N. KWENAHin Monrovia, Liberia newshub@eyewitness.africa As global efforts to combat climate change intensify, countries like Liberia stand at the crossroads of economic opportunity and environmental sustainability. Liberia’s wealth of natural resources positions it uniquely […]
TANGU kuzaliwa kwake miaka 18 iliyopita, Wesley Baraka Baya amekuwa akitamani sana kwamba ipo siku moja atahudumia taifa la Kenya kama mmoja wa maafisa shupavu wa Jeshi la Ulinzi (KDF). Hata hivyo, kinachomkula akili na kumkeketa maini kila kuchao ni hali yake ya afya. Bw Baraka alizaliwa akiwa na virusi vya HIV, jambo ambalo kila […]
Oops! Samahani Umepotea! Rudi Mwanzo Mitandao ya kijamii […]
Mume na mke wakionyeshana mapenzi. Picha|Maktaba WANAUME ambao wameoa huwa hawazeeki haraka ikilinganishwa na wale ambao ni makapera, utafiti umebaini. Utafiti huo uliochapishwa katika jarida la International Social Work ulizamia umuhimu wa ndoa kwa wanaume na wanawake na mchango wake katika ukongwe wao. Hata hivyo, kwa wanawake haikubainika iwapo maisha ya ndoa yanapunguzia uzee. Kwenye […]