Health/Eco News

Baadhi ya vyakula vinavyosaidia kukabili harufu mbaya mdomoni. Vinajumuisha chai ya kijani, tangawizi, cherry, tufaha (apple) na tikiti maji. Picha|Hisani TATIZO la kutoa harufu mbaya kinywani hutokana na mambo mengi. Hata hivyo, kuna baadhi ya vyakula ambavyo husaidia kukabiliana na shida hii. Kwa mfano: Maji Kunywa maji ndio mbinu sahili ya kukabiliana na tatio hili. […]

Delegation members. PHOTO/UGC. By OUR CORRESPONDENT newshub@eyewitness.africa The Cabinet Secretary for Agriculture and Livestock, Mutahi Kagwe, recently engaged an Iranian business delegation to discuss the possibility of reopening the tea trade between the two countries. Mr Kagwe said the move is part of Kenya’s broader strategy to strengthen bilateral ties between Iran and the broader […]

Rojo ya nyenje (cricket), nyenje zilizokaushwa kwa mafuta na kaukau zilizotumbukizwa kwenye unga wa nyenje. Picha|Hisani TAASISI ya kimataifa ya utafiti wa wadudu na ikolojia ICIPE, muungano wa kimataifa wa viumbe-hai pamoja na kituo cha kimataifa cha kilimo cha kitropiki CIAT, juma lililopita walishirikiana kuandaa hafla ya maonyesho ya vyakula vya kipekee vinavyotokana na mazao […]

Chege Kirundi’s envisaged reforms at KTDA aim to deliver improved returns for the country’s 680,000 smallholder tea farmers. PHOTO/UGC. By FRED SOME newshub@eyewitness.africa Kenya Tea Development Agency (KTDA) chairman, Chege Kirundi, has outlined an ambitious strategic agenda aimed at repositioning the country’s tea industry as a globally competitive, sustainable, and farmer-centric enterprise. His reform plan […]

Bandari Maritime Academy is Kenya’s premier maritime training institution. PHOTO/UGC. By ANDREW MWANGURA newshub@eyewitness.africa Kenya stands at a critical juncture in its maritime development, a moment ripe with potential yet fraught with challenges. The latest “Deep Dive on Seafarer Sustainability” report from the World Maritime University, commissioned by the Lloyd’s Register Foundation, sheds light on […]

A fisherman holding a fish. PHOTO/UNSPLASH By ANDREW MWANGURA newshub@eyewitness.africa In the golden era of post-independence Kenya, a bold maritime vision emerged from the waters of the Indian Ocean. The story of vessels FV Ujuzi, FV Uchumi, and FV Ufunguo represents more than just ships—they symbolize a nation’s aspirational leap into industrial fishing and maritime […]

Paka mkubwa. PICHA|HISANI MARA nyingi unapopita kwenye mitaa, vishoroba na baraste ya mbele ya mji wa Kale wa Lamu, utagundua kuwa paka wengi eneo hilo ni wanene na wenye afya nzuri ya mwili kwa jumla. Kinyume na maeneo mengine ya nchi ambapo utampata paka, hasa wale wa kuzurura mitaani, akiwa amekonda na mwenye mtazamo wa […]

A tug-boat directing a cargo vessel to a berth at Mombasa Port. PHOTO/FILE By ANDREW MWANGURA newshub@eyewitness.africa Kenya’s maritime potential remains largely untapped, despite the nation’s considerable strategic advantages and access to key international shipping routes. With only 25 merchant vessels registered under the Kenyan flag in 2020—out of 1,849 ship visits to Kenyan ports […]

ZAIDI ya watu 4.2 bilioni wanaishi mijini kote duniani kwa sasa huku idadi hiyo ikitarajiwa kuongezeka hadi takriban theluthi tatu ya watu wote kufikia mwaka 2050. Miji inapoendelea kustawi kumeibuka hatari ya ongezeko la maradhi sugu yasiyoambukiza (non-communicable diseases kwa Kimombo) katika miaka ya hivi karibuni. “Ongezeko la idadi ya watu, ujenzi wa majumba na […]

Mwanamume akibusu mpenziwe. PICHA|HISANI DAKTARI na mtaalamu wa afya Dkt Myro Figura ametahadharisha dhidi ya kupiga busu wanaume wenye ndevu, akisema hatua hiyo inaweza kukusababishia maambukizi na mwasho kwa ngozi. Kutokana na hilo amewataka wanaume au wanawake wanaobusu wanaume wenye ndevu wajihadhari kwa sababu hiyo ni njia moja ya kujiletea maradhi. “Kupiga busu mwanamume mwenye […]


Current track

Title

Artist