Opinion

Atwoli aruhusu Fazul akague matumizi ya fedha za ‘masoja’ – Taifa Leo You are using an outdated browser. Please upgrade your browser to improve your experience. Atwoli aruhusu Fazul akague matumizi ya fedha za ‘masoja’ Next article Watu 155 waaga dunia TZ kufuatia mafuriko, maporomoko ya…

MWANAMIPASHO: Sina chuki, ila hapa kwa TID mwanishangaza NA MWANAMIPASHO ILA Wakenya huwa mnanishangaza sana. Yaani mtu akitrendi tu kwa vitu vya kipuzi, hao sisi tushaanza kuwashobokea kuwapa dili na muda wetu wakati hawazistahili. Juzi tu huyu mwanamuziki Mzee TID, ametrendi kwa zile sehemu, sehemu za video zake akiwakebehi watu kwa lugha ya kizungu. Sasa […]

Upinzani umelala tangu Raila aanze kuwania kiti AU NA LEONARD ONYANGO TANGU kiongozi wa Azimio la Umoja Raila Odinga atangaze azma yake ya kuwania uenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika (AUC), Upinzani umeonekana kukosa makali katika kukosoa serikali. Kwa mfano, Bw Odinga alijitokeza kuzungumzia mgomo wa madaktari baada ya Wakenya kuhoji katika mitandaoni kuhusu […]

Artificial intelligence in Africa can potentially propel the fintech industry into a new era of financial inclusion. AI tools can analyse data from client discussions, producing legal documents in simple language and at a fraction of what it would typically take to draft a contract. Banks, for example, can make their services more affordable to […]

AI tools can analyse data from client discussions, producing legal documents in simple language and at a fraction of the cost of what it would typically take to draft a contract. AI has the potential to propel the fintech industry into a new era of financial inclusion. Banks, for example, can make their services more […]

One of the most important ways a fintech can listen to its customers is to gauge how they engage with its products. Having a deep understanding of customer needs results in innovative solutions. All around the world businesses are pulling out the stops to achieve growth in what can best be described as challenging economic […]

Hivi huyu Raila ana nyota kweli, au kidagaa kitamuozea pia huko AUC? NA DOUGLAS MUTUA USIINGIE baridi unapoona mataifa mengine yakijitokeza kumpinga Bw Raila Odinga, anayewania uenyekiti wa Tume ya Muungano wa Afrika (AUC). Hilo lilitabirika tangu mwanzo. Maoni yangu ya kwanza Bw Odinga alipotangaza kuwa angewania wadhifa huo yalikuwa kwamba tusisherehekee mapema. Nilikuwa mumu […]

Kuondoa upigaji msasa katika mchakato wa kutoa vitambulisho ni hatari NA JURGEN NAMBEKA HATUA ya Rais William Ruto kutangaza kuondolewa kwa utaratibu wa kupiga msasa vijana wanaotafuta vitambulisho kuanzia Mei, ni ishara nzuri kwa jamii mbalimbali zilizokuwa zikibaguliwa katika shughuli hiyo. Kwa Waislamu na pia jamii zingine kama vile Wabajuni, Wasomali na kadhalika, shughuli hiyo […]

Mbolea feki NCPB ni ithibati tosha walaghai wameteka nyara Kenya Na LEONARD ONYANGO TANGU kuzuka kwa sakata ya uwepo we mbolea feki katika maghala ya Bodi ya Mazao na Nafaka (NCPB), viongozi wakuu serikalini wamekuwa wakitoa kauli za kujikanganya – hali inayoibua maswali zaidi. Kwanza, Waziri wa Kilimo Mithika Linturi alipuuzilia mbali madai hayo akisema […]

Tamko la Rais litaua motisha wa madaktari hata wakirudi kazini Na BENSON MATHEKA TAMKO la Rais William Ruto Jumapili iliyopita kwamba serikali haina pesa za kutimizia madaktari wanaogoma wakitaka kuongezewa mshahara matakwa yao linaweka nchi katika hali tata ikizingatiwa kuwa huduma katika hospitali za umma zimekwama. Ni tamko linaloacha maswali kuhusu kujitolea kwa serikali kufanikisha […]


Current track

Title

Artist