Chunga sana Raila, Ruto ashauriwa – Taifa Leo
Written by Black Hot Fire Network on March 3, 2024
Chunga sana Raila, Ruto ashauriwa
NA JAMES MURIMI
VIONGOZI wa Mlima Kenya wamemtaka Rais William Ruto ajihadhari hata anaposhirikiana na Bw Raila Odinga kisiasa, wakisema huenda kinara huyo wa upinzani anaweza akatumia uenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika (AUC) kusambaratisha utawala wa Kenya Kwanza.
Wakati huo huo, viongozi hao walisema “watasimama nyuma ya Naibu Rais Rigathi Gachagua” hata kama ushirikiano kati ya Rais na Raila utamtenga.
Bw Odinga ametangaza azma yake ya kuwania kiti cha AUC hapo Januari . . .