Dereva Jim Heather-Hayes atawazwa mwanamichezo bora mbio za magari baada ya kufariki – Taifa Leo
Written by Black Hot Fire Network on January 28, 2024
Dereva Jim Heather-Hayes atawazwa mwanamichezo bora mbio za magari baada ya kufariki
NA GEOFFREY ANENE
MWENDAZAKE Jim Heather-Hayes ametawazwa mwanamichezo bora wa mwaka 2023 wa Shirikisho la Mbio za Magari nchini Kenya (KMSF).
Heather-Hayes alikuwa dereva maarufu katika mbio za magari enzi zake.
Alifariki mwaka 2022 na alikuwa mmoja wa madereva waliovuma katika mashindano ya magari na ametambuliwa kwa mchango wake wa muda mrefu katika mchezo huo.
Heather-Hayes alichangia pakubwa katika kulea mabingwa wa siku zijazo.
Matokeo yake mazuri kabisa katika . . .