Familia yaomboleza jamaa yao aliyeuawa na ‘teargas’ – Taifa Leo

Written by on June 27, 2024

Waandamanaji katika barabara za Nairobi. Picha|Billy Ogada

VIJANA walipojitokeza kuandamana dhidi ya Mswada wa Fedha 2024/25 katikati mwa jiji la Mombasa Jumanne, familia ya Emmanuel Giggs Tata, 20, haikuwahi kufikiria angekuwa sehemu ya takwimu za watu waliopoteza maisha yao katika maandamano hayo.

Emmanuel alikuwa na wenzake katikati ya mji wa Mombasa, dakika chache kabla ya polisi kuwafyatulia vitoa machozi ili kutawanya waandamanaji.

Kulingana na Bw Mwasa Nzamba, ambaye ni binamuye marehemu, kifo chake kilitokea muda mchache baada . . .



Current track

Title

Artist