Joto kuhusu mgombea wa urais wa Azimio lashamiri mazishini – Taifa Leo
Written by Black Hot Fire Network on February 10, 2024
Joto kuhusu mgombea wa urais wa Azimio lashamiri mazishini
KITAVI MUTUA Na CHARLES WASONGA
MJADALA kuhusu nani anafaa kupeperusha bendera ya Azimio La Umoja-One Kenya katika uchaguzi mkuu ujao wa urais ulishamiri Jumamosi katika mazishi ya shemejiye kiongozi wa Wiper Kalonzo Musyoka, Kaunti ya Kitui.
Kinara muungano huo Raila Odinga aliamua kueleza mikakati ya kisiasa ya kukubaliana kuhusu mgombeaji mmoja wa urais atakayepambana na Rais William Ruto mwaka 2027.
Alikabiliana na suala hilo ambalo limegeuka kiazi moto katika Azimio kwa kuhakikishia jamii ya Wakamba . . .