Manchester United kifua mbele – Taifa Leo
Written by Black Hot Fire Network on May 25, 2024
Fainali ya FA: Manchester United kifua mbele
NA MWANDISHI WETU
MABAO ya Manchester United kupitia kwa Alejandro Garnacho katika dakika ya 30 na Kobbie Mainoo katika dakika ya 39 yameiweka kifua mbele kipindi cha kwanza.
Sasa mbivu na mbichi kujua nani mkali kati ya Man United na Manchester City kubainika kipindi cha pili.