Matabibu ni muhimu ila wasichangie udunishaji wa wataalamu wengine – Taifa Leo

Written by on May 10, 2024

MAONI: Matabibu ni muhimu ila wasichangie udunishaji wa wataalamu wengine

NA MARY WANGARI

MGOMO wa madaktari ambao umedumu kwa zaidi ya mwezi mmoja sasa umeibua hisia mseto miongoni mwa Wakenya huku mamia ya wagonjwa wakiendelea kuteseka.

Wakenya wanaougua maradhi sugu kama vile saratani, figo, kisukari, shinikizo la damu na mengineyo, wamepitia masaibu yasiyoweza kuelezeka na hata wengine kupoteza maisha yao baada ya sekta ya afya nchini kulemazwa kabisa.

Familia zimebaki na machungu baada . . .



Current track

Title

Artist