Mwendo wa kasi wa matatu wasababisha ajali na kuua 11 – Taifa Leo
Written by Black Hot Fire Network on June 30, 2024
Watu 11 walifariki katika ajali mbaya ya barabarani
WATU 11 walifariki katika ajali mbaya ya barabarani baada ya matatu ya abiria 14 waliyokuwa wakisafiria kuanguka katika eneo la Ratili kwenye barabara ya Narok-Bomet Jumamosi jioni.
Wengine wawili wanapokea matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya Kaunti ya Longisa ambapo walikimbizwa kuhudumiwa.
Kulingana na Kamanda wa Polisi Kaunti ya Narok Riko Ngare, ajali hiyo ilisababishwa na kupasuka kwa tairi huku manusura wakisema dereva alikuwa akiendesha kwa mwendo wa kasi.
“Dereva wa matatu ya kampuni ya Narok Safaris Shuttles Limited, iliyokuwa . . .