Raila kuokoa jahazi makinda wake wa Azimio wakikwama – Taifa Leo

Written by on March 23, 2024

Raila kuokoa jahazi makinda wake wa Azimio wakikwama

NA WYCLIFFE NYABERI

KIONGOZI wa Wiper Kalonzo Musyoka, amesema Muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya utaendelea kukosoa utawala wa Kenya Kwanza kama kawaida hata ikiwa Raila Odinga anayesifika kwa kuchuna serikali sikio, atapata kiti cha Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika (AUC).

Bw Musyoka alisema upinzani hautabaki kigae na kwamba ikitokea Rais William Ruto anawazidi nguvu na kufinya Wakenya, basi Azimio watatafuta usaidizi wa Bw Odinga hata angalau kwa wiki moja bila kujali ikiwa atakuwa mwenyekiti wa AUC au la.



Current track

Title

Artist