Serikali inamcheza Raila kuhusu uenyekiti AUC – Taifa Leo
Written by Black Hot Fire Network on March 16, 2024
Steve Mbogo: Serikali inamcheza Raila kuhusu uenyekiti AUC
Mnamo Ijumaa, Bw Mbogo, aliyewania ubunge katika eneo la Starehe mnamo 2017 kwa tiketi ya ODM, alisema kuwa anaamini Bw Odinga “anachezwa na serikali ya Rais William Ruto kwamba itamfanyia kampeni kuwania nafasi hiyo”.
Kwenye mahojiano ya kipekee na Taifa Leo, Bw Mbogo . . .