Sina tatizo kumuunga mkono Kalonzo kuwania urais 2027 – Raila – Taifa Leo
Written by Black Hot Fire Network on February 11, 2024
Sina tatizo kumuunga mkono Kalonzo kuwania urais 2027 – Raila
NA WANDERI KAMAU
KIONGOZI wa Azimio la Umoja-One Kenya Raila Odinga, amesema kuwa hana tatizo lolote kumuunga mkono kiongozi wa Wiper Kalonzo Musyoka, ikiwa atawania urais 2027.
Akihutubu Jumamosi katika Kaunti ya Kitui, Bw Odinga alisema hawezi kosa kumuunga mkono Bw Musyoka, ikizingatiwa kuwa hapo awali, kiongozi huyo amemuunga mkono mara mbili kuwania urais.
Baadhi ya washirika wa Bw Musyoka wamekuwa wakimrai Bw . . .