Viongozi wa ‘Mulembe’ watumia sukari kufufua upya nyota zao – Taifa Leo
Written by Black Hot Fire Network on January 31, 2024
Viongozi wa ‘Mulembe’ watumia sukari kufufua upya nyota zao
NA MARY WANGARI
BAADHI ya wanasiasa na viongozi kutoka Magharibi mwa Kenya waliotemwa katika uchaguzi mkuu wa Agosti 9, 2022, wameangaziwa kwa kutumia masaibu yanayoandama sekta ya sukari nchini kama mbinu ya kufufua ndoto zao kisiasa.
Spika wa Bunge la Kitaifa Moses Wetangula ameshutumu vikali kundi la wanasiasa anaodai wanatumia changamoto zinazoyumbisha viwanda vya sukari eneo hilo kujitafutia umaarufu kisiasa.
Amesema licha ya serikali kutenga mabilioni kwa lengo . . .