Vuguvugu jipya la kutetea masilahi ya ‘Wanjiku’ – Taifa Leo
Written by Black Hot Fire Network on March 27, 2024
Team Kusikiza Ground: Vuguvugu jipya la kutetea masilahi ya ‘Wanjiku’
Sita hao, wanaoongozwa na Naibu Kiranja wa Wachache Mark Mwenje, wanaoujumuisha Mbunge wa Githunguri Gathoni Wamuchomba wanasema wanalenga kuangazia masuala yanayowahusu Wakenya kama vile sakata ya uuzaji wa mbolea feki, mgomo wa madaktari, uraibu wa pombe, ushuru wa juu, na mpango tata wa kuwapeleka polisi wa Kenya nchini Haiti miongoni mwa masuala mengine.