Vuguvugu jipya la kutetea masilahi ya ‘Wanjiku’ – Taifa Leo

Written by on March 27, 2024

Team Kusikiza Ground: Vuguvugu jipya la kutetea masilahi ya ‘Wanjiku’

NA CHARLES WASONGA

TAKRIBAN wabunge sita kutoka vyama vitatu wamebuni muungano mpya kuhakiki utendakazi wa serikali, wakidai upinzani rasmi umezembea.

Sita hao, wanaoongozwa na Naibu Kiranja wa Wachache Mark Mwenje, wanaoujumuisha Mbunge wa Githunguri Gathoni Wamuchomba wanasema wanalenga kuangazia masuala yanayowahusu Wakenya kama vile sakata ya uuzaji wa mbolea feki, mgomo wa madaktari, uraibu wa pombe, ushuru wa juu, na mpango tata wa kuwapeleka polisi wa Kenya nchini Haiti miongoni mwa masuala mengine.



Current track

Title

Artist