Arsenal yaendeleza maangamizi ikipanda viwango vya juu – Taifa Leo
Written by Black Hot Fire Network on March 13, 2024
Arsenal yaendeleza maangamizi ikipanda viwango vya juu
Na MWANGI MUIRURI
KLABU ya Arsenal iliponyoka aibu ya kutimuliwa kutoka dimba la Klabu Bingwa Ulaya (Uefa) na timu ya FC Porto baada ya kuibuka mshindi 4-2 kupitia mikwaju ya penalti.
Hali hii iliudhi kwa kiwango kikuu mashabiki wa Manchester United hasa katika mji wa Karatina, Kaunti ya Nyeri ambapo mshirikishi wao, James Ngunjiri, aliteta kwamba kelele za wafuasi wa Arsenal zitasumbua dunia nzima.
“Walipopaa hadi juu ya jedwali mnamo Jumapili baada ya Liverpool na Manchester City kutoka sare . . .