Barcelona yalia na kusaga meno huku Dortmund wakipepea Uefa – Taifa Leo
Written by Black Hot Fire Network on April 17, 2024
Barcelona yalia na kusaga meno huku Dortmund wakipepea Uefa
BARCELONA, Uhispania
KOCHA Xavi Hernandez wa Barcelona amesema maamuzi mabaya ya refarii yalisababisha timu yake kubanduliwa na Paris Saints-Germain (PSG) katika robo-fainali ya Klabu Bingwa barani Ulaya (UEFA).
Kwenye mechi hiyo iliyochezewa Olympic Stadium Lluis, Jumanne usiku, Barcelona walifunga mapema na kuongoza kabla ya PSG kutoka nyuma na kuibuka na ushindi wa jumla wa 6-4 kutokana na mabao ya haraka kupitia kwa Kylian Mbappe (2) na Ousmane Dembele.
Katika robo-fainali nyingine iliyochezwa Jumanne, wenyeji Borussia Dortmund . . .