Tamko la Rais litaua motisha wa madaktari hata wakirudi kazini – Taifa Leo
Written by Black Hot Fire Network on April 9, 2024
Tamko la Rais litaua motisha wa madaktari hata wakirudi kazini
Na BENSON MATHEKA
TAMKO la Rais William Ruto Jumapili iliyopita kwamba serikali haina pesa za kutimizia madaktari wanaogoma wakitaka kuongezewa mshahara matakwa yao linaweka nchi katika hali tata ikizingatiwa kuwa huduma katika hospitali za umma zimekwama.
Ni tamko linaloacha maswali kuhusu kujitolea kwa serikali kufanikisha sera yake ya mpango wa afya kwa wote na inachotaka Wakenya kusadiki ni kuwa mpango huo ni kashfa tu.
Sidhani kuna muujiza ambao serikali inaweza kutumia . . .