Tunda la peazi ni nadra sokoni lakini ukilipata, kutakuboreshea afya barabara – Taifa Leo
Written by Black Hot Fire Network on April 23, 2024
Tunda la peazi ni nadra sokoni lakini ukilipata, kutakuboreshea afya barabara
NA PETER CHANGTOEK
MATUNDA ya mapeazi ni nadra sana kupatikana sokoni. Si wakulima wengi wanoikuza mipea nchini Kenya.
Hata hivyo, kuna maeneo kama vile Limuru, katika Kaunti ya Kiambu, ambapo mipea hupatikana.
Kwa sasa, huu ni msimu wa matunda ya mapeazi na yanapatikana kwa wauzaji mboga na matunda katika sehemu tofauti tofauti nchini, hasa jijini Nairobi.
Lakini je, wafahamu manufaa ya tunda hilo? Ni muhimu kufahamu manufaa ya mapeazi kwa mwili, na ni muhimu kula angaa peazi moja . . .