Wenger asema Arsenal wana uwezo wa asilimia 50 kushinda Bayern – Taifa Leo
Written by Black Hot Fire Network on April 17, 2024
Wenger asema Arsenal wana uwezo wa asilimia 50 kushinda Bayern
JOHN ASHIHUNDU NA MASHIRIKA
LICHA ya kupewa nafasi ndogo ya kushinda Bayern Munich Jumatano na kusonga mbele katika michuano ya Klabu Bingwa barani Ulaya (UEFA), kocha wa zamani wa Arsenal, Arsene Wenger anaamini timu hiyo inaweza kushinda mechi hiyo ya marudiano, ugani Allianz Arena.
“Kila timu ina asilimia 50 kushinda mechi ya marudiano kati ya Bayern Munich na Arsenal na kufuzu kwa nusu-fainali,” alisema kocha huyo mkongwe raia wa Ufaransa.
Zilipokutana katika mkondo wa kwanza ugani Emirates, timu . . .