Dawa za kusaidia kupata ashiki haziathiri akili, Watafiti sasa wabaini – Taifa Leo
Written by Black Hot Fire Network on February 12, 2024
Dawa za kusaidia kupata ashiki haziathiri akili, Watafiti sasa wabaini
Na CECIL ODONGO
DAWA ambazo zinatumika kutibu ubutu wa hisia za mapenzi kwa wanaume haziwezi kusababisha maradhi ya kiakili (Alzheimer), Watafiti wamebaini.
Kumekuwa na dhana kuwa dawa hizo zikitumika, zinaweza kusababisha mtu apotoke kiakili baada ya kufika kiwango fulani cha matumiz. Hii ni kwa sababu kwa kiasi fulani zinaweza kuathiri uwajibikaji wa seli za ubongo.
Hali hii imekuwa ikiwafanya . . .