Opinion

Page: 5

WANDERI KAMAU: Kawira Mwangaza ni mwathiriwa wa mitazamo duni ya jadi NA WANDERI KAMAU JAMII ya Ameru ni miongoni mwa jamii ambazo zimekuwa zikimpa hekima na kumkweza mwanamume kama nguzo kuu ya uongozi wake. Katika jamii hiyo, mwamamume huwa anapewa hekima kama kiongozi na mlezi wa jamii, anayefaa kushughulikia mahitaji ya familia yake —mke na watoto […]

Kennedy Rapudo, the king of cucks, seem to have signalled his willingness to share the mother of his yet unborn child, Amber Ray, with her ex Jimal Roho Safi in a new shocking twist of events. Jimal Buys Amber Ray A Brand New Range Rover After Her Break Up With Kennedy Rapudo (Video) This guy […]

African countries have every right to set the timing for their energy transition. Africa still needs time–time that the Western world has already had and, frankly continues to milk–to resolve energy poverty and industrialize. The continent’s oil and gas production, when managed strategically, provides a pathway for economic growth, energy transition and security. About a […]

Chunga usiwe ‘mzazi hewa’ kwenye maisha ya mwanao NA WINNIE ONYANDO WAZAZI wengi leo hii wametelekeza majukumu yao ya kuwaangalia na kuwalea watoto wao kwa njia ya uadilifu, kisingizio kikiwa ni kubanwa na shughuli za kikazi. Wanatafuta pesa na kusahau umuhimu wa kupalilia husiano wa karibu na watoto wao. Kutafuta pesa si jambo baya, lakini […]

Willy Paul seem to be a lightning rod for a lot of allegations and accusations regarding sexual impropriety and misconduct. He slept with his frienemy’s wife Diana Marua Bahati and then she came out to accuse him of having violated her. Eyewitnesses came out to say this was not the case and she was an […]

Africa holds more than half of the world’s reserves of cobalt, 46% of its manganese, and 21% of its graphite, all used in EV batteries, and about a quarter of its bauxite, which is required for solar photovoltaic technologies. For decades, Africa has allowed her raw materials, including oil and natural gas, to be exported […]

MAWAIDHA YA KIISLAMU: Maadili yako wapi, tunafunza nini kizazi kijacho? Na ALI HASSAN KWA jina la Mwenyezi Mungu mwenye kuneemesha neema kubwa kubwa na neema ndogo ndogo. Tumejaaliwa leo hii kukutana katika jukwaa hili la kukumbushana na kuelimishana kuihusu dini yetu tukufu ya Kiislamu. Ama kabla ya kujitosa kwenye mada ya leo, sharuti tumpwekeshe, kumwabudu, […]

Sauti Sol are an angry boy band and they have every right to be miffed. One of their members, Bien Aime recently revealed that he was paid a whopping 14,000 Kenya shillings by the government body meant to collect and pay them their royalties: MCSK. Should Bensoul leave Sauti Sol’s label? For anyone who knows […]

The final agreement of the Dubai climate summit mentions for the first time a transition “away from fossil fuels.” This is certainly a step on the right path, but that remains far too insufficient to respond to the urgency and severity of the climate crisis, particularly for vulnerable countries. For millions of Africans, the climate […]

MAONI: Wachuuzi katikati mwa jiji bado ni kero kwa wapita njia NA WINNIE ONYANDO WACHUUZI wanaouza bidhaa zao nje ya maduka makubwa na kando ya barabara katikati mwa jiji la Nairobi wamekuwa kero la muda mrefu kwa wapita njia. Wafanyabiashara waliokodisha maduka na hata wasafiri kwa jumla wamekuwa wakilalamika kuwa wachuuzi hao huwa wengi kiasi […]


Current track

Title

Artist